Thursday, May 12, 2011

Barselona

Barselona have won Spanish Primera Division Congratulate Barselona Coach,All players and all members of this Club

To every body

Hello every body how have doing your work i think every thing is doing some today i am not speak too much because i want to know you status only bye

Friday, November 19, 2010

Spain

Suppose Spain have plead or older? The second stroke is a series or Portugal were avenge the imprisonment in the World Cup but all these are goals friends Spain should be aware of his conduct because it has to come as it announces the majority received beatings with this much embarrassment. Spain is a great team in the world and has enormous potential to beat Portugal and the closure is common in the game but not so it has amazing, pray for all the best in the changes going from the future I believe in Spain, I love Spain and I know a good team all the best Spain

Sunday, August 1, 2010

UCHAGUZI

Habari Watanzaia mko poa kwa ajili ya Uchaguzi wakati huu ni wa Sisi kuwa makini kwa sababu Viongozi wana Heshima haoo yaani full kujaliana tuwemakini basi katika hilo nawatakia Watanzania wooooote UCHAGUZI huru na wa Amani Mungu Ibariki Tanzania Mungu Ibariki Afrika.

Saturday, May 8, 2010

Drogba huyoooo kwenye Kiatu Rooney yu wapi?


  1. Hivi ndivyo mwanaume alivyowafanya Liverpool, poleni sana Munchester najua ndio wanaoumia zaidi kuliko wenye timu salam kwa Rooney ole wake.... Chelsea inatarajia kuingia Uwanjani kesho ikiwa kamili kama kawaida Taarifa zilizotoka jioni hii zinasema jamaa hawa hawana majeruhi na Kesho ni kazi moja tu kuiangamiza Wigan









  1. Mashabiki wa Chelsea najua presha inapanda presha inashuka katika kumalizia mchezo wa mwisho dhidi ya Wigan lakini msihofu kombe lenu na Nawapa pole wale woote wanao iombea mabaya Chelsea mabaya nawaambia poleni sana yale mababa hayana cha utani iombeeni Wigani idadi ya magoli ipungue lakini la sivyo zaidi ya goli 5 zawasubiri Stanford Bridge Hongera Chelsea na washabiki wake wanao onekana mwisho wa msimu kutokana tu na Chelsea kwa sasa kalikalibia Kombe nawauliza walikuwa wapi mwanzo wa msimu